Bongo singer Ommy Dimpoz painfully explains why he can’t dare help his poor father

By , K24 Digital
On Thu, 15 Sep, 2022 09:47 | 2 mins read
Bongo singer Ommy Dimpoz painfully explains why he can't dare help his poor father
Ommy Dimpoz with his father. PHOTO/Courtesy.

Tanzanian singer Ommy Dimpoz came out to explain why he is not helping his father financially after being criticized for neglecting his dad.

Dimpoz's father, who is a tuk-tuk driver, while speaking to Tanzanian media narrated how he struggles to make ends meet even though his son is leading a luxurious lifestyle.

The 'Nai Nai' hitmaker ultimately decided to explain in detail why he chose to neglect his biological father in a bid to be vindicated following the criticisms.

Ommy Dimpoz says dad abandoned him

The Bongo singer in a video shared online revealed that his father is a deadbeat dad. He narrated how his dad neglected him from the moment he was born.

Dimpoz revealed he was solely raised by his mother until her death when he was still in primary school.

"Kitu ambacho nimeweza kukiona ambayo watu wengi twatakiwa tujifunze kwa waliobahatika kuwa wazazi miaka hii ambaya kuna mitendao na ambao wanatarajia kuwa wazazi, ni kwamba hakuna kitu bora utamtendea mtoto kama utamwonyesha mapenzi kwamba unamjali unamcare ata kama huna kitu. Hicho ndo kitu pekee katika maisha yangu mimi naweza kusema nilikikosa. Kwa sababu nililelewa katika mazingira ambayo namuona mama tu tangia nimezaliwa mbaka nakua na kwa bahati mbaya mamangu akafariki wakati bado nko primary school," he said.

The Bongo singer lamented that his father didn't even bother to attend his mom's funeral or even console him for the loss.

"Katika msiba wa mamangu baba sikumuona, hakunitafuta ata kunipa pole. Unajua ni mtu ambaye alikimbia majukumu moja kwa moja."

Ommy is an illegitimate child

The Bongo singer reveals that his deadbeat father chose to neglect him from birth because he is an illegitimate child.

He disclosed that his father was a very responsible dad to his other 15 children but deliberately chose to neglect him because he sired him with his late mother out of wedlock.

"Lakini mwenyezi Mungu siku zote ndo anajua siri kubwa ya maisha, yule mtoto ambaye alikua hadhaminiwi na hana dhamani akaja kuwa mtu fulani. Ndo sasa hivi kinachoendelea na kilichotokea. Babangu kwenye familia yake yeye ana watoto zaidi ya kumi na tano ambao hao walilelewa na yeye kwa sababu mimi nlikua mtoto wa nje ya ndoa lakini sasa hivi baba anataka anataka atambulike ni baba Ommy Dimpoz, hataki kuskia chochote yeye. Yeye anachotaka ni 'mimi ni babake Ommy Dimpoz'."

Dimpoz further disclosed that he last saw his father in person nearly two decades ago and that he has never had any close interactions with him

"Mimi sijawai katika maisha yangu kuwa na ukaribu wowote na babangu. Hajawai kunilea, hajawai kunisomesha, hajawai kufanya kitu chochote yani sina ata kumbukumbu kwamba hili daftari nilinunuliwa na babangu. Mara ya mwisho nimekutana naye baba yangu inawezekana ni miaka ishirini kama iliopita," he said.

Dimpoz vow never to help his dad

The Bongo singer insisted that he would only help the people who were with him while he was still struggling to make it.

He further noted that he respects his father even though he has zero love for him in his heart.

"Maisha yangu mimi ntakula na wale ambao walikua na mimi wakati wa shida. Namuheshimu kama babangu lakini hatuwezi kuwa karibu kwa sababu hatukuwai kuwa na huo ukaribu. Katika moyoni sina mapenzi naye."

Related Topics